×

Umuhimu Wa Tawheed (Kiswahili)

Maandalizi: Yasini Twaha Hassani

Description

Mada hii inazungumzia:Utukufu wa muislam kuwa na lailaha Illa Allah katika maisha yake, na mambo mengi alio yafanya Allah kwasababu ya neon hilo, na kuna habari njema kuwa mwenye kufa bila kufanya ushirikina ataingia peponi.

Download Book

معلومات المادة باللغة العربية